Swali: Je, kumnyamazisha ambaye anawasengenya watu ni katika kuamrisha mema na kukemea maovu?
Jibu: Ndio, ni aina kubwa za kukemea maovu. Ambaye anawasengenya watu mnasihi, mtahadharishe na mukhofishe juu ya Allaah (´Azza wa Jall). Usinyamaze na wala usikae naye. Bali unapaswa kumnasihi na ujaribu kumzuia kusengenya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
- Imechapishwa: 22/02/2024
Swali: Je, kumnyamazisha ambaye anawasengenya watu ni katika kuamrisha mema na kukemea maovu?
Jibu: Ndio, ni aina kubwa za kukemea maovu. Ambaye anawasengenya watu mnasihi, mtahadharishe na mukhofishe juu ya Allaah (´Azza wa Jall). Usinyamaze na wala usikae naye. Bali unapaswa kumnasihi na ujaribu kumzuia kusengenya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
Imechapishwa: 22/02/2024
https://firqatunnajia.com/kuzuia-usengenyi-aina-kubwa-ya-kukemea-maovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)