Swali: Ni lipi la wajibu kwa mwenye kuona baadhi ya madhambi makubwa yanafanywa katika mji usiohukumu kwa Shari´ah ya Kiislamu?
Jibu: Yakataze kiasi cha uwezo wako:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
“Yule miongoni mwenu atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake na hiyo ni imani dhaifu mno.”[1]
Ayakataza kiasi cha uwezo wake.
[1] Muslim (49).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 15/06/2015
Swali: Ni lipi la wajibu kwa mwenye kuona baadhi ya madhambi makubwa yanafanywa katika mji usiohukumu kwa Shari´ah ya Kiislamu?
Jibu: Yakataze kiasi cha uwezo wako:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
“Yule miongoni mwenu atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake na hiyo ni imani dhaifu mno.”[1]
Ayakataza kiasi cha uwezo wake.
[1] Muslim (49).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 15/06/2015
https://firqatunnajia.com/kukataza-maovu-katika-miji-isiyohukumu-kwa-shariah/