Swali: Mara moja au mbili imetokea adhaana ya Fajr kunikuta huku ninaswali na wakati mwingine baada ya kutoa salamu adhaana inakuwa ndio inaanzwa. Je, niirudie Witr hii?
Jibu: Inatosha. Kwa sababu adhaana inatolewa kwa kudhania kuwa Fajr imeingia. Kukiadhiniwa na mtu yuko katika Witr atakamilisha. Hapana neno na inatosha kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/16336/هل-يعاد-الوتر-اذا-اذن-للفجر-اثناء-تاديته
- Imechapishwa: 10/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)