Swali: Ibn Hazm amesema:
“Ambaye yuko anaswali Sunnah kisha kukakimiwa swalah ya mkusanyiko basi ajiunge nao. Akiwa kwa mfano ameshaswali Rak´ah moja basi aketi mwishoni mwa swalah yake mpaka aikidhi ile Rak´ah ambayo amekwishaiswali.”?
Jibu: Hapana, hili halina msingi. Anachotakiwa ni ima kuikata swalah hiyo ya kujitolea au aikamilishe na kujiunga pamoja nao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23714/حكم-من-اقيمت-الصلاة-وهو-يصلى-نافلة
- Imechapishwa: 08/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)