Swali: Ibn Hazm amesema:
“Ambaye yuko anaswali Sunnah kisha kukakimiwa swalah ya mkusanyiko basi ajiunge nao. Akiwa kwa mfano ameshaswali Rak´ah moja basi aketi mwishoni mwa swalah yake mpaka aikidhi ile Rak´ah ambayo amekwishaiswali.”?
Jibu: Hapana, hili halina msingi. Anachotakiwa ni ima kuikata swalah hiyo ya kujitolea au aikamilishe na kujiunga pamoja nao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23714/حكم-من-اقيمت-الصلاة-وهو-يصلى-نافلة
- Imechapishwa: 08/04/2024
Swali: Ibn Hazm amesema:
“Ambaye yuko anaswali Sunnah kisha kukakimiwa swalah ya mkusanyiko basi ajiunge nao. Akiwa kwa mfano ameshaswali Rak´ah moja basi aketi mwishoni mwa swalah yake mpaka aikidhi ile Rak´ah ambayo amekwishaiswali.”?
Jibu: Hapana, hili halina msingi. Anachotakiwa ni ima kuikata swalah hiyo ya kujitolea au aikamilishe na kujiunga pamoja nao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23714/حكم-من-اقيمت-الصلاة-وهو-يصلى-نافلة
Imechapishwa: 08/04/2024
https://firqatunnajia.com/kuihesabu-rakah-ya-sunnah-katika-zile-rakah-za-faradhi-alizoswali-mtu/