Swali: Kuna mwanamke ameachika talaka rejea. Ada yake ya mwezi si yenye kudhibitika na inampotea. Ni ipi hukumu ya kutumia dawa za kuishusha pamoja na kuzingatia kwamba hivi sasa yuko ndani ya eda?
Jibu: Muda wa kuwa anapata ada ya mwezi akae eda kwa mujibu wa hedhi. Asitumie dawa za kuishusa damu yake. Akae eda kwa mujibu wa hedhi pale itakapokuja. Hedhi tatu. Asubiri itapokuja hata kama itachelewa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (01)
- Imechapishwa: 01/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket