Kugawanya mirathi wakati wa uhai

Swali: Je, inafaa kugawanya mirathi wakati mtu bado yuko hai?

Jibu: Ndio. Wakiridhia wote na akagawanya mali ya mirathi kwa watoto wake kwa mujibu wa hukumu ya Allaah hapana vibaya.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
  • Imechapishwa: 07/09/2023