Swali: Shari´ah inasemaje juu ya kufunga miezi mitatu; Rajab, Sha´baan na Ramadhaan na siku sita za mwezi wa Shawwaal kwa sura endelevu pamoja na kuzingatia kwamba mimi nina uwezo wa kufanya hivo?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo. Hapana neno kufanya hivo. Hapana vibaya kwa ambaye atafunga mwezi wa Rajab, Sha´baan na Ramadhaan. Kilichochukizwa ni kufunga Rajab peke yake ambapo akaipwekesha kwa funga. Hata hivyo ni sawa endapo ataifunga na Sha´baan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/13003/حكم-صوم-رجب-وشعبان-ورمضان-والست-من-شوال
- Imechapishwa: 07/05/2022
Swali: Shari´ah inasemaje juu ya kufunga miezi mitatu; Rajab, Sha´baan na Ramadhaan na siku sita za mwezi wa Shawwaal kwa sura endelevu pamoja na kuzingatia kwamba mimi nina uwezo wa kufanya hivo?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo. Hapana neno kufanya hivo. Hapana vibaya kwa ambaye atafunga mwezi wa Rajab, Sha´baan na Ramadhaan. Kilichochukizwa ni kufunga Rajab peke yake ambapo akaipwekesha kwa funga. Hata hivyo ni sawa endapo ataifunga na Sha´baan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/13003/حكم-صوم-رجب-وشعبان-ورمضان-والست-من-شوال
Imechapishwa: 07/05/2022
https://firqatunnajia.com/kufunga-rajab-shabaan-ramadhaan-na-siku-sita-za-shawwaal/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)