Swali: Bwana mmoja anadaiwa kafara ya miezi miwili mfululizo na akataka kufunga swawm ya siku sita za Shawwaal. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Kilicho cha lazima ni yeye kuharakisha kufunga swawm ya kafara. Haijuzu kutanguliza swawm ya siku sita juu yake. Kwa sababu imependekezwa tu na kafara ni faradhi ambayo ni lazima kwa njia ya upesi. Kwa hivyo imelazimika kuitanguliza swawm ya kafara mbele ya swawm ya siku sita na swawm nyenginezo zilizopendekezwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/394)
- Imechapishwa: 07/05/2022
Swali: Bwana mmoja anadaiwa kafara ya miezi miwili mfululizo na akataka kufunga swawm ya siku sita za Shawwaal. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Kilicho cha lazima ni yeye kuharakisha kufunga swawm ya kafara. Haijuzu kutanguliza swawm ya siku sita juu yake. Kwa sababu imependekezwa tu na kafara ni faradhi ambayo ni lazima kwa njia ya upesi. Kwa hivyo imelazimika kuitanguliza swawm ya kafara mbele ya swawm ya siku sita na swawm nyenginezo zilizopendekezwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/394)
Imechapishwa: 07/05/2022
https://firqatunnajia.com/kutanguliza-siku-sita-za-shawwaal-kabla-ya-swawm-ya-kafara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)