Swali: Baadhi ya ndugu hufuata misikiti ambayo wanaswalia jeneza. Wengine wakawakemea kwa hoja kwamba Salaf hawakuwa wakifuatafuata jeneza. Ni yepi maoni yako juu ya hilo?
Jibu: Ukemeaji hauna mashiko muda wa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kuswalia jeneza. Ikijulikana kuwa kuna msikiti fulani ambao kuna jeneza na akaenda kumswalia, analipwa thawabu juu yake. Amekusudia kuswalia jeneza, jambo ambalo amelisisitiza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23654/حكم-تتبع-المساجد-التي-فيها-جناىز
- Imechapishwa: 12/03/2024
Swali: Baadhi ya ndugu hufuata misikiti ambayo wanaswalia jeneza. Wengine wakawakemea kwa hoja kwamba Salaf hawakuwa wakifuatafuata jeneza. Ni yepi maoni yako juu ya hilo?
Jibu: Ukemeaji hauna mashiko muda wa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kuswalia jeneza. Ikijulikana kuwa kuna msikiti fulani ambao kuna jeneza na akaenda kumswalia, analipwa thawabu juu yake. Amekusudia kuswalia jeneza, jambo ambalo amelisisitiza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23654/حكم-تتبع-المساجد-التي-فيها-جناىز
Imechapishwa: 12/03/2024
https://firqatunnajia.com/kufuata-misikiti-ya-mbali-kwa-ajili-ya-kumswalia-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)