Swali: Ni yapi maoni yako kwa mtu mwenye kufanyia mzaha moja ya rai ya madhehebu kama kwa mfano kuweka mikono chini ya kitovu wakati wa kuswali?
Jibu: Kuweka mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto wakati mtu amesimama katika Swalah, sawa ikiwa ataweka chini ya kitovu au chini ya kifua, ni Sunnah, na sio wajibu. Sio wajibu. Ni Sunnah.
Ikiwa anafanyia mzaha jambo lililowekwa katika Shari´ah la kuweka mkono wa kulia juu ya wa kushoto, huku ni kuritadi. Na ikiwa anafanyia mzaha tu kwa kitendo cha mtu na sio asli ya Sunnah, huu ni upotevu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Ni yapi maoni yako kwa mtu mwenye kufanyia mzaha moja ya rai ya madhehebu kama kwa mfano kuweka mikono chini ya kitovu wakati wa kuswali?
Jibu: Kuweka mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto wakati mtu amesimama katika Swalah, sawa ikiwa ataweka chini ya kitovu au chini ya kifua, ni Sunnah, na sio wajibu. Sio wajibu. Ni Sunnah.
Ikiwa anafanyia mzaha jambo lililowekwa katika Shari´ah la kuweka mkono wa kulia juu ya wa kushoto, huku ni kuritadi. Na ikiwa anafanyia mzaha tu kwa kitendo cha mtu na sio asli ya Sunnah, huu ni upotevu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/kufanya-mzaha-uwekaji-wa-mikono-chini-ya-kitovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)