Swali: Ni ipi hukumu ya kununua na kuuza na Bilaad-ul-Harb?
Jibu: Mtawala akikataza kufanya biashara na nchi miongoni mwa nchi za kikafiri kwa sababu ni Bilaad-ul-Harb, basi ni wajibu kwa rai kuacha kufanya hivo. Vinginevyo asli biashara ni halali. Isipokuwa pale ambapo mtawala atakataza kufanya biashara na baadhi ya nchi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14221
- Imechapishwa: 17/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)