Swali: Anaadhibiwa ndani ya kaburi aliyekufa na mkopo?
Jibu: Ikiwa alizembea na kupuuza ni dhambi na hivyo yuko khatarini. Lakini ikiwa ana uzito na si kwamba amekusudia kufanya kwa kutaka kwake, hayuko khatarini:
وَإِن كَانَ ذُو عُسْرَةٍ فَنَظِرَةٌ إِلَىٰ مَيْسَرَةٍ
”Na ikiwa [mdaiwa] ni mwenye hali ngumu, basi [anayedai] angoje mpaka afarijike.”[1]
[1] 02:280
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22886/هل-الدين-من-اسباب-عذاب-القبر
- Imechapishwa: 09/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)