Swali: Ni ipi hukumu ya kuendesha gari kwa kasi wakati wa kuharakia swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Haijuzu kuendesha gari kwa kasi kwa wala kwa miguu. Kuna khatari kwenda kasi kwa gari. Haijuzu kwa mtu kuiweka khatarini nafsi yake. Haifai kwake kuvunja alama za barabarani wala kuzivuka[1]. Kufanya hivo kuna khatari.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kikomo-cha-kasi-kinatakiwa-kufuatwa/
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 18/09/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket