Swali: Wakati tumekaa msikitini inatokea wakati mwingine anatoka nje mmoja wetu ili atawadhe kisha anarejea msikitini. Je, aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Ndio, aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti na aswali Sunnah ya wudhuu´ pia. Mtu ambaye atakariri kuingia mara nyingi basi aswali ile mara ya mwisho. Akitoka nje mara moja kwa ajili ya kutawadha basi aswali. Pia inafaa kwake kukusanya kati ya Sunnah mbili hizo; swalah ya mamkuzi ya msikiti na swalah ya Sunnah ya wudhuu´.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 18/09/2021
Swali: Wakati tumekaa msikitini inatokea wakati mwingine anatoka nje mmoja wetu ili atawadhe kisha anarejea msikitini. Je, aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Ndio, aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti na aswali Sunnah ya wudhuu´ pia. Mtu ambaye atakariri kuingia mara nyingi basi aswali ile mara ya mwisho. Akitoka nje mara moja kwa ajili ya kutawadha basi aswali. Pia inafaa kwake kukusanya kati ya Sunnah mbili hizo; swalah ya mamkuzi ya msikiti na swalah ya Sunnah ya wudhuu´.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 18/09/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mamkuzi-ya-msikiti-kwa-aliyetoka-kwa-ajili-ya-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)