Swali: Mwadhini alichelewa kidogo wakati wa adhaana ambapo akaadhini mmoja katika ndugu walioko msikitini. Wakati wa kukimu akakimu yule mwadhini ambaye ni mteule msikitini. Je, kuna ubaya kwa kufanya hivo? Namaanisha kwamba inafaa akatoa adhaana mmoja akakimu mwengine?
Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo. Lakini bora ni akimu ambaye ameadhini. Hivo ndivo ilivyokuwa hali wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imepokelewa kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Mwenye kuadhini ndiye hukimu.”[1]
Lakini cheni ya wapokezi wake ni dhaifu.
[1] at-Tirmidhiy (199), Abu Daawuud (514), Ibn Maajah (717) na Ahmad (04/169).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/339)
- Imechapishwa: 18/09/2021
Swali: Mwadhini alichelewa kidogo wakati wa adhaana ambapo akaadhini mmoja katika ndugu walioko msikitini. Wakati wa kukimu akakimu yule mwadhini ambaye ni mteule msikitini. Je, kuna ubaya kwa kufanya hivo? Namaanisha kwamba inafaa akatoa adhaana mmoja akakimu mwengine?
Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo. Lakini bora ni akimu ambaye ameadhini. Hivo ndivo ilivyokuwa hali wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imepokelewa kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Mwenye kuadhini ndiye hukimu.”[1]
Lakini cheni ya wapokezi wake ni dhaifu.
[1] at-Tirmidhiy (199), Abu Daawuud (514), Ibn Maajah (717) na Ahmad (04/169).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/339)
Imechapishwa: 18/09/2021
https://firqatunnajia.com/kukimu-ambaye-hakuadhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)