Swali: Kuweka mikono yote mwili kwa nyuma na mtu akaiegemea?
Jibu: Hilo halina ubaya. Kilichokatazwa ni kuweka mkono wake kushoto nyuma ya mgongo wake na akauegemea.
Swali: Haijuzu ikiwa ni mkono wa kushoto?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23344/هل-يجوز-وضع-كلتا-اليدين-وراء-الظهر
- Imechapishwa: 29/12/2023
Swali: Kuweka mikono yote mwili kwa nyuma na mtu akaiegemea?
Jibu: Hilo halina ubaya. Kilichokatazwa ni kuweka mkono wake kushoto nyuma ya mgongo wake na akauegemea.
Swali: Haijuzu ikiwa ni mkono wa kushoto?
Jibu: Ndio.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23344/هل-يجوز-وضع-كلتا-اليدين-وراء-الظهر
Imechapishwa: 29/12/2023
https://firqatunnajia.com/kuegemea-mikono-yote-miwili-nyuma-ya-mgongo/