Swali: Baadhi ya watu wanazingatia kuwa ni kiburi mtoto kuweka mguu juu ya mguu mwingine mbele ya baba yake au mbele ya mwanachuoni.
Jibu: Hapana vibaya kuweka mguu juu ya mguu mwingine.
Swali: Kwa hiyo sio katika kuburi?
Jibu: Sio katika kiburi.
Swali: Mtu ameketi kwenye kiti na akaweka mguu wake juu ya goti lake?
Jibu: Hapana neno ikiwa haionekani sehemu yoyote ya siri yake. Mkao kama huo hauna neno kwa sharti isionekane sehemu yoyote ya siri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23343/هل-وضع-الرجل-على-الرجل-من-التكبر
- Imechapishwa: 29/12/2023
Swali: Baadhi ya watu wanazingatia kuwa ni kiburi mtoto kuweka mguu juu ya mguu mwingine mbele ya baba yake au mbele ya mwanachuoni.
Jibu: Hapana vibaya kuweka mguu juu ya mguu mwingine.
Swali: Kwa hiyo sio katika kuburi?
Jibu: Sio katika kiburi.
Swali: Mtu ameketi kwenye kiti na akaweka mguu wake juu ya goti lake?
Jibu: Hapana neno ikiwa haionekani sehemu yoyote ya siri yake. Mkao kama huo hauna neno kwa sharti isionekane sehemu yoyote ya siri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23343/هل-وضع-الرجل-على-الرجل-من-التكبر
Imechapishwa: 29/12/2023
https://firqatunnajia.com/ni-kiburi-kukaa-kwa-kuweka-mguu-juu-ya-mgu-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)