Swali: Je, inafaa kuchukua mali ya makafiri ambao wanatangaza waziwazi vita na waislamu?
Jibu: Hapana. Haichukuliwi mali ya kafiri isipokuwa kwa ngawira kwenye jihaad katika njia ya Allaah. Haijuzu kuchukua mali ya kafiri na kusema eti inafaa. Isitoshe mara nyingi kunakuwa na mikataba kati yao na waislamu. Haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 15/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)