Swali: Je, kuna miaka maalum inayojuzisha kukata mkono wa mwizi hata ikiwa ni mtoto mdogo ambaye bado kubaleghe?

Jibu: Adhabu za kidini hazitekelezwi isipokuwa kwa ambao wameshabaleghe na wenye akili.

  • Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
  • Imechapishwa: 15/08/2024