Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mkono wa kushoto katika kuchinja au kuandika Qur-aan?
Jibu: Ndio, inafaa kwa mtu kutumia mkono wake wa kushoto katika kuchinja, kuandika Qur-aan na mambo mengine ikiwa ndio uwezo wake. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
لَا يُكَلِّفُ اللَّـهُ نَفْسًا إِلَّا وُسْعَهَا
”Allaah hakalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadiri ya uwezo wake.”[1]
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[2]
[1] 02:286
[2] 64:16
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (2/20)
- Imechapishwa: 26/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mkono wa kushoto katika kuchinja au kuandika Qur-aan?
Jibu: Ndio, inafaa kwa mtu kutumia mkono wake wa kushoto katika kuchinja, kuandika Qur-aan na mambo mengine ikiwa ndio uwezo wake. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
لَا يُكَلِّفُ اللَّـهُ نَفْسًا إِلَّا وُسْعَهَا
”Allaah hakalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadiri ya uwezo wake.”[1]
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[2]
[1] 02:286
[2] 64:16
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (2/20)
Imechapishwa: 26/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuchinja-na-kuandika-qur-aan-kwa-mkono-wa-kushoto/