Swali: Ni kweli kwamba yule mwenye kuchinja Udhhiyah yake kabla ya kichinjwa cha imamu basi kichinjwa chake hakisihi?
Jibu: Sahihi ni kwamba yule mwenye kuchinja baada ya kumalizika swalah ya ´iyd basi kichinjwa chake kinasihi japo atakuwa amechinja kabla ya imamu. Kuhusu aliyechinja Udhhiyah yake kabla kuswaliwa swalah ya ´iyd hakisihi. Si vyenginevyo hicho ni chakula amewaharakishia familia yake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (5123)
- Imechapishwa: 26/07/2020
Swali: Ni kweli kwamba yule mwenye kuchinja Udhhiyah yake kabla ya kichinjwa cha imamu basi kichinjwa chake hakisihi?
Jibu: Sahihi ni kwamba yule mwenye kuchinja baada ya kumalizika swalah ya ´iyd basi kichinjwa chake kinasihi japo atakuwa amechinja kabla ya imamu. Kuhusu aliyechinja Udhhiyah yake kabla kuswaliwa swalah ya ´iyd hakisihi. Si vyenginevyo hicho ni chakula amewaharakishia familia yake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (5123)
Imechapishwa: 26/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuchinja-katika-iyd-ul-adhwhaa-kabla-ya-imamu/