Swali: Makampuni ya vyakula vya kigeni huwashtua wanyama kwanza kwa mshtuko wa umeme, ambapo akapoteza fahamu, na kisha baadaye ndipo wakawachinja. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa kweli unajua kwamba wanafanya hivyo, usile nyama hiyo. Lakini ikiwa umesikia uvumi tu, bila ujuzi wa jambo hilo, unapaswa kutambua kuwa kimsingi ni kwamba kila kitu ni halali kukila.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 10/11/2023
Swali: Makampuni ya vyakula vya kigeni huwashtua wanyama kwanza kwa mshtuko wa umeme, ambapo akapoteza fahamu, na kisha baadaye ndipo wakawachinja. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa kweli unajua kwamba wanafanya hivyo, usile nyama hiyo. Lakini ikiwa umesikia uvumi tu, bila ujuzi wa jambo hilo, unapaswa kutambua kuwa kimsingi ni kwamba kila kitu ni halali kukila.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 10/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuchinja-baada-ya-mshtuko-wa-umeme/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)