Swali: Kundi la watu walimpiga risasi ng’ombe wa uzio kwa bunduki, kisha wakamchinja na wakala nyama yake. Je, kitendo chao kinafaa?
Jibu: Wakimuwahi kumchinja bado yuko hai, nyama hiyo ni halali. Lakini ikiwa alikufa kutokana na risasi, ni haramu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 10/11/2023
Swali: Kundi la watu walimpiga risasi ng’ombe wa uzio kwa bunduki, kisha wakamchinja na wakala nyama yake. Je, kitendo chao kinafaa?
Jibu: Wakimuwahi kumchinja bado yuko hai, nyama hiyo ni halali. Lakini ikiwa alikufa kutokana na risasi, ni haramu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 10/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuchinja-baada-ya-kupiga-risasi-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)