Swali: Makampuni ya vyakula vya kigeni huwashtua wanyama kwanza kwa mshtuko wa umeme, ambapo akapoteza fahamu, na kisha baadaye ndipo wakawachinja. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa kweli unajua kwamba wanafanya hivyo, usile nyama hiyo. Lakini ikiwa umesikia uvumi tu, bila ujuzi wa jambo hilo, unapaswa kutambua kuwa kimsingi ni kwamba kila kitu ni halali kukila.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 10/11/2023
Swali: Makampuni ya vyakula vya kigeni huwashtua wanyama kwanza kwa mshtuko wa umeme, ambapo akapoteza fahamu, na kisha baadaye ndipo wakawachinja. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa kweli unajua kwamba wanafanya hivyo, usile nyama hiyo. Lakini ikiwa umesikia uvumi tu, bila ujuzi wa jambo hilo, unapaswa kutambua kuwa kimsingi ni kwamba kila kitu ni halali kukila.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 10/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuchinja-baada-ya-mshtuko-wa-umeme/