Swali: Kundi la watu walimpiga risasi ng’ombe wa uzio kwa bunduki, kisha wakamchinja na wakala nyama yake. Je, kitendo chao kinafaa?
Jibu: Wakimuwahi kumchinja bado yuko hai, nyama hiyo ni halali. Lakini ikiwa alikufa kutokana na risasi, ni haramu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 19/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)