Swali: Mtunzi amesema kuwa miongoni mwa sharti za kusihi kwa kichinjwa, mchinjaji awe mstahiki. Miongoni mwa mengine aliyotaja ni kwamba asiwe mtoto. Je, mtoto akiwa na uwezo wa kupambanua ni halali kula kichinjwa chake?
Jibu: Ndio. Ikiwa mtoto ana uwezo wa kupambanua na yuko na akili, ni halali kula kichinjwa chake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 19/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)