Swali: Sijatoa zakaah ya mwaka mzima uliyopita kwa sababu ya nataka nisafiri na kuwapa nayo mafukara huko. Je, inafaa kwangu kufanya hivo?
Jibu: Ndio, inafaa kuchelewesha zakaah kwa lengo sahihi. Ikiwa huko unakokwenda kuna mafukara ambao wanahitaji zaidi kuliko wengine, basi kitendo hicho hakina neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 21/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)