Swali: Nina biashara nje ya nchi na nimetapeliwa huko. Je, inafaa kwangu kutafuta haki yangu katika mahakama inayohukumu kinyume na Shari´ah ili niweze kupata haki yangu?
Jibu: Ikiwa unataka kuhakikisha kupata haki yako tu na wala hutomdhulumu yeyote, inafaa. Wewe lengo lako ni kupata haki yako na si kumdhulumu yeyote. Hapana vibaya. Hata hivyo haijuzu ikiwa unataka kuhukumiana kwa sheria zilizotunga wanadamu kwa lengo la kuchukua haki za watu au kutumia fursa ya kanuni hizo kwa ajili ya kikiuka haki za watu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 21/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)