Swali: Je, inafaa kwa mtu wakati anapofafanua baadhi ya sifa za Allaah kuashiria kwa kidole?
Jibu: Kama alivyoashiria Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni sawa ikiwa ni kwa ajili ya kubainisha na kuweka wazi na sio kwa ajili ya kufananisha na kushabihisha. Anafanya hivo kwa ajili ya kuweka wazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23740/حكم-الاشارة-بالاصبع-في-شرح-صفات-الله
- Imechapishwa: 18/04/2024
Swali: Je, inafaa kwa mtu wakati anapofafanua baadhi ya sifa za Allaah kuashiria kwa kidole?
Jibu: Kama alivyoashiria Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni sawa ikiwa ni kwa ajili ya kubainisha na kuweka wazi na sio kwa ajili ya kufananisha na kushabihisha. Anafanya hivo kwa ajili ya kuweka wazi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23740/حكم-الاشارة-بالاصبع-في-شرح-صفات-الله
Imechapishwa: 18/04/2024
https://firqatunnajia.com/kuashiria-wakati-wa-kueleza-baadhi-ya-sifa-za-allaah/