Swali: Unasemaje kwa mwenye kuapa “Ninaapa kwa Mola wa Ka´abah” (wa Rabb-ul-K´bah)?
Jibu: Ni kiapo sahihi. Mola wa Ka´bah ni Allaah (Jalla wa ´Alaa). Kilichokatazwa na kuapa “Ninaapa kwa Ka´bah”. Hili halijuzu kwa kuwa Ka´bah ni kiumbe. Haijuzu kuapa kwa asiyekuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Ama mtu akiapa “Ninaapa kwa Mola wa Ka´abah ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (4) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-18.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Unasemaje kwa mwenye kuapa “Ninaapa kwa Mola wa Ka´abah” (wa Rabb-ul-K´bah)?
Jibu: Ni kiapo sahihi. Mola wa Ka´bah ni Allaah (Jalla wa ´Alaa). Kilichokatazwa na kuapa “Ninaapa kwa Ka´bah”. Hili halijuzu kwa kuwa Ka´bah ni kiumbe. Haijuzu kuapa kwa asiyekuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Ama mtu akiapa “Ninaapa kwa Mola wa Ka´abah ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (4) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-18.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-mola-wa-kabah/