Swali: Je, inajuzu kusema:
وَجَعَلْنَا مِن بَيْنِ أَيْدِيهِمْ سَدًّا وَمِنْ خَلْفِهِمْ سَدًّا |
“Na Tumeweka mbele yao kizuizi na nyuma yao (pia) kizuizi.” (36:09) |
wakati ninapokhofia jambo langu kufichuka?
Jibu: Ukiwa kati ya maadui zako ni sawa ukasema hivi kwa njia ya Du´aa. Ama ukiwa kati ya Waislamu na sio maadui, usisemi hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (5) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-22.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Je, inajuzu kusema:
وَجَعَلْنَا مِن بَيْنِ أَيْدِيهِمْ سَدًّا وَمِنْ خَلْفِهِمْ سَدًّا
“Na Tumeweka mbele yao kizuizi na nyuma yao (pia) kizuizi.” (36:09)
wakati ninapokhofia jambo langu kufichuka?
Jibu: Ukiwa kati ya maadui zako ni sawa ukasema hivi kwa njia ya Du´aa. Ama ukiwa kati ya Waislamu na sio maadui, usisemi hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (5) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-22.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/duaa-unapokuwa-kati-ya-maadui/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)