Swali: Je, ni sharti kulaza nia katika swawm ya siku sita za Shawwaal?
Jibu: Ndio, kwa njia ya ubora. Vinginevyo hapana neno iwapo atafunga kuanzia wakati wa mchana. Lakini swawm yake haiwi kamili isipokuwa pale atakapolaza nia. Katika hali hiyo funga yake inakuwa kamili. Vinginevyo swawm inakuwa pungufu akifunga kuanzia wakati wa mchana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21735/ما-حكم-تبييت-النية-في-صيام-ست-شوال
- Imechapishwa: 05/05/2022
Swali: Je, ni sharti kulaza nia katika swawm ya siku sita za Shawwaal?
Jibu: Ndio, kwa njia ya ubora. Vinginevyo hapana neno iwapo atafunga kuanzia wakati wa mchana. Lakini swawm yake haiwi kamili isipokuwa pale atakapolaza nia. Katika hali hiyo funga yake inakuwa kamili. Vinginevyo swawm inakuwa pungufu akifunga kuanzia wakati wa mchana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21735/ما-حكم-تبييت-النية-في-صيام-ست-شوال
Imechapishwa: 05/05/2022
https://firqatunnajia.com/kuanza-kufunga-siku-sita-za-shawwaal-wakati-wa-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)