Swali: Ibn-ul-Jawziy amesema:
“Mwenye kuandika jina lake kwenye msikiti aliyoujenga anakuwa mbali na kumtakasia nia Allaah.
Jibu: Sio katika hali zote. Lengo lake linaweza kuwa atambulike kwa hilo na sio kujionyesha. Anaweza kuwa amejitahidi ili atambulike kuwa yeye ndiye ameujenga pasi na kukusudia kujionyesha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23640/حكم-من-يكتب-اسمه-على-ما-بناه
- Imechapishwa: 07/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)