Swali: Sisi tuna mabedui na watu wajinga wengi. Ni vipi tutawafunza dini yao na tuanze kuwafunza nini?
Jibu: Anzeni kwa kuwafunza twahara, wudhuu´, swalah na hukumu za swalah. Muhimu kuliko yote ni ´Aqiydah. Wafunzeni ´Aqiydah sahihi ijapokuwa kwa njia ya mukhtaswari. Wafunzeni shirki na Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04)
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Sisi tuna mabedui na watu wajinga wengi. Ni vipi tutawafunza dini yao na tuanze kuwafunza nini?
Jibu: Anzeni kwa kuwafunza twahara, wudhuu´, swalah na hukumu za swalah. Muhimu kuliko yote ni ´Aqiydah. Wafunzeni ´Aqiydah sahihi ijapokuwa kwa njia ya mukhtaswari. Wafunzeni shirki na Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04)
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/kitu-cha-kwanza-cha-kuanza-kuwafunza-washamba/