Swali: Kuna wanaosema kuwa kikao cha mapumziko (جلسة الاستراحة) ni jambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa mtumzima?
Jibu: Hapana, ni katika namna ya swalah. Maoni ya sawa ni kwamba ni katika sifa ya swalah.
Swali: Kwa hivyo ni kwa mdogo na mkubwa?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23707/%D9%87%D9%84-%D8%AC%D9%84%D8%B3%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%B3%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D8%AD%D8%A9-%D8%AE%D8%A7%D8%B5%D8%A9-%D8%A8%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%B3%D9%88%D9%84-%EF%B7%BA-%D9%84%D9%85%D8%A7-%D9%83%D8%A8%D8%B1
- Imechapishwa: 07/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)