Swali: Kinajuzu kichinjwa cha mwanamke katika hali ya amechinja mbali na wanamme na kinaliwa?
Jibu: Kichinjwa cha mwanamke ni halali. Ni mamoja amefanya hivo mbele au mbali na wanamme muda wa kuwa ameteremsha damu na kutaja jina Allaah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Kuleni kile ambacho kimetolewa damu na kutajiwa jina la Allaah.”
Hakuna tofauti kati ya kwamba ni mwanamke huyo ni mwenye hedhi au msafi. Kwa sababu inafaa kwa mwenye hedhi kumtaja Allaah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (2/20)
- Imechapishwa: 26/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)