Nataja mambo ambayo huenda yakawa ni tatizo: je, inasihi au haisihi na kukubaliwa hajj ya ambaye haswali? Hapana. Kwa nini? Kwa sababu sio muislamu. Isitoshe haijuzu kumwacha ambaye haswali kuvuka mipaka ya Makkah. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْمُشْرِكُونَ نَجَسٌ فَلَا يَقْرَبُوا الْمَسْجِدَ الْحَرَامَ بَعْدَ عَامِهِمْ هَـٰذَا
”Enyi walioamini! Hakika washirikiana ni najisi, hivyo basi wasikaribie al-Masjid al-Haraam baada ya mwaka wao huu.”[1]
Wale ambao wanaishi pamoja na asiyeswali katika chumba kimoja basi wanalazimika kumwambia asilimu na vinginevyo watamzuia kuvuka mipaka ya Makkah.
[1] 09:28
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binothaimeen.net/content/17549
- Imechapishwa: 26/07/2020
Nataja mambo ambayo huenda yakawa ni tatizo: je, inasihi au haisihi na kukubaliwa hajj ya ambaye haswali? Hapana. Kwa nini? Kwa sababu sio muislamu. Isitoshe haijuzu kumwacha ambaye haswali kuvuka mipaka ya Makkah. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْمُشْرِكُونَ نَجَسٌ فَلَا يَقْرَبُوا الْمَسْجِدَ الْحَرَامَ بَعْدَ عَامِهِمْ هَـٰذَا
”Enyi walioamini! Hakika washirikiana ni najisi, hivyo basi wasikaribie al-Masjid al-Haraam baada ya mwaka wao huu.”[1]
Wale ambao wanaishi pamoja na asiyeswali katika chumba kimoja basi wanalazimika kumwambia asilimu na vinginevyo watamzuia kuvuka mipaka ya Makkah.
[1] 09:28
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binothaimeen.net/content/17549
Imechapishwa: 26/07/2020
https://firqatunnajia.com/hijjah-ya-ambaye-haswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)