Swali: Inasihi kwa mwenye janaba na mwanamke kuchinja?

Jibu: Udhhiyah inafaa kumchinja ilihali mtu ni mwenye janaba na pia inafaa kwa mwanamke kuchinja Udhhiyah hata kama ni mwenye janaba.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (2/13)
  • Imechapishwa: 24/07/2020