Kiapo juu ya jambo linalokuja huko mbele[1] ndio kiapo kilicho na kafara. Mtu akiapa ju ya kitu kinachokuja mbele na akaenda kinyume na kitu hicho alichokiapia, basi ni wajibu kwake kutoa kafara. Isipokuwa ikiwa kama ataapa na kusema “Akitaka Allaah” katika hali hii hana kafara juu yake hata kama hatofanya kitu hicho [alichokiapia].
[1] https://firqatunnajia.com/bora-mtu-kufanya-alichokiapia-au-kutokukifanya/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/533 )
- Imechapishwa: 29/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)