Swali: Ni ipi hukumu ya Khatwiyb asemapo:
“Aqiym-is-Swalaat”?
Jibu: Hakuna haja ya kusema hivi. Pale anapomaliza Khutbah na kushuka juu ya minbari maana yake ni kwamba wakati wa kukimiwa Swalah umefika. Kwa nini aseme “Aqiym-is-Swalaat”?
Jambo lingine ni kwamba hili halikuthibiti. Hili halikuthibiti kutokana na ninavyojua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya Khatwiyb asemapo:
“Aqiym-is-Swalaat”?
Jibu: Hakuna haja ya kusema hivi. Pale anapomaliza Khutbah na kushuka juu ya minbari maana yake ni kwamba wakati wa kukimiwa Swalah umefika. Kwa nini aseme “Aqiym-is-Swalaat”?
Jambo lingine ni kwamba hili halikuthibiti. Hili halikuthibiti kutokana na ninavyojua.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/khatwiyb-kusema-aqiym-is-swalaat-baada-ya-khutbah/