Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Suurah al-Baqarah na Aal ´Imraan zitakuja siku ya Qiyaamah zkimtetea mwenye nazo.”
Je, hii si dalili inayoonyesha kuwa zimeumbwa?
Jibu: Hapana. Zitakuja zikimtetea yule aliyekuwa akizisoma na kuzitendea kazi. Kwa kuwa ni Suurah ambazo ni hoja kutoka kwa Allaah. Mja ambaye alishikamana nazo na kuzitendea kazi, zitamtetea siku ya Qiyaamah. Allaah ni Muweza wa kuzifanya kwa umbile la sura kama jinsi kwa mfano Jibriyl alivyokuwa akijigeuza kwa umbile la mwanaadamu. Allaah ni Muweza wa kuvigeuza vitu kwa lengo la kuweza kuwasogelea waja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Suurah al-Baqarah na Aal ´Imraan zitakuja siku ya Qiyaamah zkimtetea mwenye nazo.”
Je, hii si dalili inayoonyesha kuwa zimeumbwa?
Jibu: Hapana. Zitakuja zikimtetea yule aliyekuwa akizisoma na kuzitendea kazi. Kwa kuwa ni Suurah ambazo ni hoja kutoka kwa Allaah. Mja ambaye alishikamana nazo na kuzitendea kazi, zitamtetea siku ya Qiyaamah. Allaah ni Muweza wa kuzifanya kwa umbile la sura kama jinsi kwa mfano Jibriyl alivyokuwa akijigeuza kwa umbile la mwanaadamu. Allaah ni Muweza wa kuvigeuza vitu kwa lengo la kuweza kuwasogelea waja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/hoja-ya-wanaosema-kuwa-qur-aan-imeumbwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)