Swali: Maamuma waliojiunga na mkusanyiko kwa kuchelewa wanaweza kusimama moja kwa moja baada ya Tasliym ya kwanza ya imamu?
Jibu: Wanachuoni wanasema mwenye kusimama baada ya Tasliym ya kwanza basi swalah yake inabadilika kutoka katika swalah ya faradhi kwenda katika swalah ya Sunnah. Mwenye kusimama kabla ya Tasliym ya pili swalah yake inabadilika kwenda katika swalah ya Sunnah. Kwa hivyo ni lazima aswali swalah ya faradhi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Maamuma waliojiunga na mkusanyiko kwa kuchelewa wanaweza kusimama moja kwa moja baada ya Tasliym ya kwanza ya imamu?
Jibu: Wanachuoni wanasema mwenye kusimama baada ya Tasliym ya kwanza basi swalah yake inabadilika kutoka katika swalah ya faradhi kwenda katika swalah ya Sunnah. Mwenye kusimama kabla ya Tasliym ya pili swalah yake inabadilika kwenda katika swalah ya Sunnah. Kwa hivyo ni lazima aswali swalah ya faradhi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/khatari-ya-kusimama-kabla-ya-tasliym-ya-pili-ya-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)