Swali: Mama akimuamrisha mtoto wake kumtaliki mke wake. Je, ni wajibu kumtaliki na asipofanya hivo anakuwa ni mwenye kumuasi?
Jibu: Hapana. Mmoja katika wazazi akikuamrisha kumtaliki mke wake pasi na sababu ya Kishari´ah, sio lazima kufanya hivo. Ama ikiwa ni kwa sababu ya Kishari´ah kwa kuwa ana mapungufu katika dini yake, anawaudhi wazazi wake au mmoja katika wazazi, amtii katika hilo. Ama ikiwa ni pasi na sababu, bali ni chuki tu binafsi, sio lazima kumtaliki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-21.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Mama akimuamrisha mtoto wake kumtaliki mke wake. Je, ni wajibu kumtaliki na asipofanya hivo anakuwa ni mwenye kumuasi?
Jibu: Hapana. Mmoja katika wazazi akikuamrisha kumtaliki mke wake pasi na sababu ya Kishari´ah, sio lazima kufanya hivo. Ama ikiwa ni kwa sababu ya Kishari´ah kwa kuwa ana mapungufu katika dini yake, anawaudhi wazazi wake au mmoja katika wazazi, amtii katika hilo. Ama ikiwa ni pasi na sababu, bali ni chuki tu binafsi, sio lazima kumtaliki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-21.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-inafaa-kuwatii-wazazi-katika-kumtaliki-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)