Swali: Tumesoma kuwa kuitikia mwaliko wa ndoa ni wajibu. Lakini wakati mwingine katika sherehe hizi kunakuwa baadhi ya maovu. Tufanye nini?
Jibu: Mtu akijua kuwa mahali alipoalikwa kuna maovu na hawezi kuyakemea, asende.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (04)
- Imechapishwa: 15/02/2024
Swali: Tumesoma kuwa kuitikia mwaliko wa ndoa ni wajibu. Lakini wakati mwingine katika sherehe hizi kunakuwa baadhi ya maovu. Tufanye nini?
Jibu: Mtu akijua kuwa mahali alipoalikwa kuna maovu na hawezi kuyakemea, asende.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (04)
Imechapishwa: 15/02/2024
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hi-usiitikie-mwaliko-wa-ndoa/