Swali: Chakula cha karamu ya ndoa inakuwa msikitini?
Jibu: Hapana vibaya haja ikipelekea kufanya hivo. Ni kama ambavo anakula anayefanya I´tikaaf. Mwenye kufanya I´tikaaf anakula msikitini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23607/حكم-العقيقة-والوليمة-في-المسجد
- Imechapishwa: 24/02/2024
Swali: Chakula cha karamu ya ndoa inakuwa msikitini?
Jibu: Hapana vibaya haja ikipelekea kufanya hivo. Ni kama ambavo anakula anayefanya I´tikaaf. Mwenye kufanya I´tikaaf anakula msikitini.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23607/حكم-العقيقة-والوليمة-في-المسجد
Imechapishwa: 24/02/2024
https://firqatunnajia.com/karamu-ya-ndoa-msikitini/