Swali: Wamezowea watu wengi wakati wa ndoa wanatuma kadi za mwaliko. Je, zinamlazimu mtu pindi zinapomfikia?
Jibu: Akimfikishia hapana vibaya, haidhuru.
Swali: Je, analazimika kuitikia mwaliko akipewa kadi hii?
Jibu: Ndio:
“Akiitwa mmoja wenu aitikie.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23608/هل-تجب-اجابة-الدعوة-التي-تصل-بالبطاقات
- Imechapishwa: 24/02/2024
Swali: Wamezowea watu wengi wakati wa ndoa wanatuma kadi za mwaliko. Je, zinamlazimu mtu pindi zinapomfikia?
Jibu: Akimfikishia hapana vibaya, haidhuru.
Swali: Je, analazimika kuitikia mwaliko akipewa kadi hii?
Jibu: Ndio:
“Akiitwa mmoja wenu aitikie.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23608/هل-تجب-اجابة-الدعوة-التي-تصل-بالبطاقات
Imechapishwa: 24/02/2024
https://firqatunnajia.com/kuitikia-mwaliko-wa-harusi-kwa-njia-ya-kadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)