Swali: Mwenye kusema ´Atakayemuona fulani basi amwite` – je, ni katika kutangaza kilichopotea?
Jibu: Hapana, sio katika kutangaza kilichopotea. Akisema ´karibuni` au akamwambia fulani ´waambie wakaribie`, hapana vibaya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23606/حكم-اخبار-الناس-بالمسجد-بالدعوة-الى-الطعام
- Imechapishwa: 24/02/2024
Swali: Mwenye kusema ´Atakayemuona fulani basi amwite` – je, ni katika kutangaza kilichopotea?
Jibu: Hapana, sio katika kutangaza kilichopotea. Akisema ´karibuni` au akamwambia fulani ´waambie wakaribie`, hapana vibaya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23606/حكم-اخبار-الناس-بالمسجد-بالدعوة-الى-الطعام
Imechapishwa: 24/02/2024
https://firqatunnajia.com/kuwaalika-watu-karamu-ya-ndoa-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)