Swali: Akifa ambaye anadaiwa funga ya miezi miwili mfululizo ni sahihi akafungiwa na watu sitini katika siku moja?
Jibu: Haisihi. Kwa sababu kwa njia hiyo hakufikiwi ile sharti; ambayo ni ule mfululizo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanz-uth-Thamiyn, uk. 89
- Imechapishwa: 29/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)