Swali: Kuna muulizaji nje ya nchi hii – Saudi Arabia – anasema kuwa katika mji wao kuna mtu amewaua watu wawili. Mtawala katika mji huo hana nguvu wala mamlaka ya kusimamisha adhabu ya Kishari´ah na kisasi. Je, kabila linaweza kumsimamishia adhabu ya Kishari´ah sawa ikiwa ni kabila lake au makabila ya watu wawili?
Jibu: Hakuna anayesimamisha kisasi na kusimamisha huduud isipokuwa mtawala ili kusitoee vurugu na mauaji baina ya watu. Hakuna anayefanya hili isipokuwa mtawala.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Kuna muulizaji nje ya nchi hii – Saudi Arabia – anasema kuwa katika mji wao kuna mtu amewaua watu wawili. Mtawala katika mji huo hana nguvu wala mamlaka ya kusimamisha adhabu ya Kishari´ah na kisasi. Je, kabila linaweza kumsimamishia adhabu ya Kishari´ah sawa ikiwa ni kabila lake au makabila ya watu wawili?
Jibu: Hakuna anayesimamisha kisasi na kusimamisha huduud isipokuwa mtawala ili kusitoee vurugu na mauaji baina ya watu. Hakuna anayefanya hili isipokuwa mtawala.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kabila-kumsimamishia-mtu-adhabu-katika-nchi-isiyohukumu-kwa-shariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)