Swali: Je, inajuzu kwa baba kumuoa mwanamke mtoto akimuoa na akamtaliki?
Jibu: Hapana:
وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ
“…. na [mmeharamishwa] wake wa watoto wenu waliotoka katika migongo yenu.” (04:23)
Hili ni Mutlaq, sawa ikiwa alimwingilia au hakumwingilia. Anakuwa ni haramu kwa baba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa baba kumuoa mwanamke mtoto akimuoa na akamtaliki?
Jibu: Hapana:
وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ
“…. na [mmeharamishwa] wake wa watoto wenu waliotoka katika migongo yenu.” (04:23)
Hili ni Mutlaq, sawa ikiwa alimwingilia au hakumwingilia. Anakuwa ni haramu kwa baba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/baba-kuoa-mwanamke-aliyetalikiwa-na-mtoto-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)